Zaidi

Zaidi Lyrics

Song Zaidi
Artist Jux
Album Zaidi
Download Image LRC TXT
作词 : Juma "Jux" Mkambala
作曲 : Juma "Jux" Mkambala/Bob Manecky
2. Zaidi
Its bob manecky
Intro:
Nana nana naaana
Nana nana naaana
Nana nana naaana
Nana nanaaa
Verse:
Zinanitoka goose bums,
Nikisikia jina lako
Mi ninaweukaa
Kabisa mi ni chizi wako
Na kama ni mganga eeeh
Mzuri huyo mganga wako
Sio kwa kunipumbaza huku
Baby, Mmhh
Mamy ongeza ubuyu
Nizidi kuumung’unya eeeh
Tena na sukari guru
Utamu nikitafuna eeeh
Baby ongeza ubuyu
Nizidi kuumung’unya eeeh
Tena na sukari guru
utamu nikitafuna eeeh (mhmh)
Pre-Chorus:
Kama ni pili pili maa (na na na na)
Acha ukali niusikie (na na na na)
Kama nivita mamaa (na na na na)
Acha adui wanivamie (na na na na)
Kama we ni asali maa (na na na na)
Acha na nyuki wanivamie (na na na na)
Lakini penzi lako baby (na na na na)
Ata kidogo lisipungue (na na na na)
No no nooooo
Chorus:
Zaidi zaidi zaidi zaidi (mhmhh)
Nipe nipe
Zaidi zaidi Zaidiii (mhmhh)
Wewe zaidi zaidiii zaidiii
Wewe nipe zaidi zaidi (zaidiii)
Bridge:
Haya yaya yaaah yaaah...
Haya yaya haya yaya yaaaah...
Verse:
Nanyosha mikoni juu
Kwako mi nimesurrender
Naona maajabu
Sungura kazidiwa ujanja
Nimekuwa zuzu zuzu zuuu
Nimekuwa bubu bubu buuu
Nimekuwa mbumbu mbuu baby eh
Nimekuwa zaidi ya nyumbu
Sioni sisikiii... (aaah)
Sioni sisikii ... Baeby
Pre-Chorus:
Kama ni pili pili maa (na na na na)
Acha ukali niusikie (na na na na)
Kama nivita mamaa (na na na na)
Acha adui wanivamie (na na na na)
Kama we ni asali maa (na na na na)
Acha na nyuki wanivamie (na na na na)
Lakini penzi lako baby (na na na na)
Ata kidogo lisipungue (na na na na)
No nooooo oooooh
Chorus:
Zaidi zaidi zaidi zaidi (yeyeeeee)
Nipe nipe
Zaidi zaidi Zaidiii (mhmhh)
Wewe zaidi zaidiii zaidiii
Wewe nipe zaidi zaidi (zaidiii)
Outro:
Mamy ongeza ubuyu
Nizidi kuumumunya eee
Tena na sukari guru
Utamu nikitafuna eee
Baby ongeza ubuyu
Nizidi kuumumunya eeee
Tena na sukari guru
Utamu nikitafuna eeee
Mhmhmh...
zuo ci : Juma " Jux" Mkambala
zuo qu : Juma " Jux" Mkambala Bob Manecky
2. Zaidi
Its bob manecky
Intro:
Nana nana naaana
Nana nana naaana
Nana nana naaana
Nana nanaaa
Verse:
Zinanitoka goose bums,
Nikisikia jina lako
Mi ninaweukaa
Kabisa mi ni chizi wako
Na kama ni mganga eeeh
Mzuri huyo mganga wako
Sio kwa kunipumbaza huku
Baby, Mmhh
Mamy ongeza ubuyu
Nizidi kuumung' unya eeeh
Tena na sukari guru
Utamu nikitafuna eeeh
Baby ongeza ubuyu
Nizidi kuumung' unya eeeh
Tena na sukari guru
utamu nikitafuna eeeh mhmh
PreChorus:
Kama ni pili pili maa na na na na
Acha ukali niusikie na na na na
Kama nivita mamaa na na na na
Acha adui wanivamie na na na na
Kama we ni asali maa na na na na
Acha na nyuki wanivamie na na na na
Lakini penzi lako baby na na na na
Ata kidogo lisipungue na na na na
No no nooooo
Chorus:
Zaidi zaidi zaidi zaidi mhmhh
Nipe nipe
Zaidi zaidi Zaidiii mhmhh
Wewe zaidi zaidiii zaidiii
Wewe nipe zaidi zaidi zaidiii
Bridge:
Haya yaya yaaah yaaah...
Haya yaya haya yaya yaaaah...
Verse:
Nanyosha mikoni juu
Kwako mi nimesurrender
Naona maajabu
Sungura kazidiwa ujanja
Nimekuwa zuzu zuzu zuuu
Nimekuwa bubu bubu buuu
Nimekuwa mbumbu mbuu baby eh
Nimekuwa zaidi ya nyumbu
Sioni sisikiii... aaah
Sioni sisikii ... Baeby
PreChorus:
Kama ni pili pili maa na na na na
Acha ukali niusikie na na na na
Kama nivita mamaa na na na na
Acha adui wanivamie na na na na
Kama we ni asali maa na na na na
Acha na nyuki wanivamie na na na na
Lakini penzi lako baby na na na na
Ata kidogo lisipungue na na na na
No nooooo oooooh
Chorus:
Zaidi zaidi zaidi zaidi yeyeeeee
Nipe nipe
Zaidi zaidi Zaidiii mhmhh
Wewe zaidi zaidiii zaidiii
Wewe nipe zaidi zaidi zaidiii
Outro:
Mamy ongeza ubuyu
Nizidi kuumumunya eee
Tena na sukari guru
Utamu nikitafuna eee
Baby ongeza ubuyu
Nizidi kuumumunya eeee
Tena na sukari guru
Utamu nikitafuna eeee
Mhmhmh...
zuò cí : Juma " Jux" Mkambala
zuò qǔ : Juma " Jux" Mkambala Bob Manecky
2. Zaidi
Its bob manecky
Intro:
Nana nana naaana
Nana nana naaana
Nana nana naaana
Nana nanaaa
Verse:
Zinanitoka goose bums,
Nikisikia jina lako
Mi ninaweukaa
Kabisa mi ni chizi wako
Na kama ni mganga eeeh
Mzuri huyo mganga wako
Sio kwa kunipumbaza huku
Baby, Mmhh
Mamy ongeza ubuyu
Nizidi kuumung' unya eeeh
Tena na sukari guru
Utamu nikitafuna eeeh
Baby ongeza ubuyu
Nizidi kuumung' unya eeeh
Tena na sukari guru
utamu nikitafuna eeeh mhmh
PreChorus:
Kama ni pili pili maa na na na na
Acha ukali niusikie na na na na
Kama nivita mamaa na na na na
Acha adui wanivamie na na na na
Kama we ni asali maa na na na na
Acha na nyuki wanivamie na na na na
Lakini penzi lako baby na na na na
Ata kidogo lisipungue na na na na
No no nooooo
Chorus:
Zaidi zaidi zaidi zaidi mhmhh
Nipe nipe
Zaidi zaidi Zaidiii mhmhh
Wewe zaidi zaidiii zaidiii
Wewe nipe zaidi zaidi zaidiii
Bridge:
Haya yaya yaaah yaaah...
Haya yaya haya yaya yaaaah...
Verse:
Nanyosha mikoni juu
Kwako mi nimesurrender
Naona maajabu
Sungura kazidiwa ujanja
Nimekuwa zuzu zuzu zuuu
Nimekuwa bubu bubu buuu
Nimekuwa mbumbu mbuu baby eh
Nimekuwa zaidi ya nyumbu
Sioni sisikiii... aaah
Sioni sisikii ... Baeby
PreChorus:
Kama ni pili pili maa na na na na
Acha ukali niusikie na na na na
Kama nivita mamaa na na na na
Acha adui wanivamie na na na na
Kama we ni asali maa na na na na
Acha na nyuki wanivamie na na na na
Lakini penzi lako baby na na na na
Ata kidogo lisipungue na na na na
No nooooo oooooh
Chorus:
Zaidi zaidi zaidi zaidi yeyeeeee
Nipe nipe
Zaidi zaidi Zaidiii mhmhh
Wewe zaidi zaidiii zaidiii
Wewe nipe zaidi zaidi zaidiii
Outro:
Mamy ongeza ubuyu
Nizidi kuumumunya eee
Tena na sukari guru
Utamu nikitafuna eee
Baby ongeza ubuyu
Nizidi kuumumunya eeee
Tena na sukari guru
Utamu nikitafuna eeee
Mhmhmh...
Zaidi Lyrics
YouTube Results (More on YouTube)