Baba yetu, yetu uliye Mbinguni yetu, yetu amina! Baba yetu yetu uliye Jina lako litukuzwe. Utupe leo chakula chetu Tunachohitaji utusamehe Makosa yetu, hey! Kama nasi tunavyowasamehe Waliotukosea usitutie Katika majaribu, lakini Utuokoe, na yule, muovu e milele! Ufalme wako ufike utakalo Lifanyike duniani kama mbinguni. (Amina) ? Baba yetu, yetu uliye Mbinguni yetu, yetu amina! Baba yetu yetu uliye Jina lako litukuzwe. Utupe leo chakula chetu Tunachohitaji utusamehe Makosa yetu, hey! Kama nasi tunavyowasamehe Waliotukosea usitutie Katika majaribu, lakini Utuokoe, na yule, muovu e milele!